|
MUZIKI GANI KWENDA MAISHA CLUB
Baada ya kupiga show ya nguvu pande za Dar Live, sasa wakali wa wili wa miondoko ya bongo flava wanaelekea pande za maisha club kesho. Diamond na mkali wa hip hop Nay Wa Mitego watapiga show kali siku ya kesho tarehe 26/05/2013 ndani ya maisha club. Entrance fee ni Tsh 10000/= tu. Nenda kashahudie Diamond na Nay wakipiga show ya nguvu. MWAKILISHI WA BBA (THE CHASE) KUTOKA TANZANIA
Miss Fezza Kessy ndiye mwakilishi kutoka Tanzania atakaye tuwakilisha katika mashindano ya Big Brother Africa 2013. Big Brother Africa 2013 itaanza tarehe 26 May 2013. Ina jumla ya washiriki 28 kutoka nchi 14 kutoka Africa.
Mshindi ataondoka na kitita cha dolla laki tatu. Show hii ya big brother itarushwa na station ya M-net. Watanzania wanaombwa watoe full support kwa mshiriki wetu Fezza Kessy. [NEW AUDIO] WAKUVWANGA – VATUKocha wa Togo atishia kujiuzulu
Six amesema fedha hizo zinatokana na gharama zake wakati alipokuwa ziarani barani Ulaya kuwachunguza wachezaji. Kocha huyo sasa ameipa shirikisho la mchezo wa soka nchini Togo, ilaani ya kulipa fedha hizo la sivyo ajiuzulu. Hata hivyo viongozi wa soka nchini humo wamehoji deni hilo wakisema ni kubwa zaidi. Gonga continue reading kuendelea.. BBC SWAHILI: Muungano wa AU washerehekea miaka 50
Muungano wa Afrika wakati huo ukijulikana kama OAU,uligeuza jina na kujulikana kama AU mnamo mwaka. Hapo kesho Jumamosi kutakuwa na sherehe za kilele kuadhimisha miaka hamsini ya AU na Zitahudhuriwa na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta pamoja na marais wengine wa Afrika. Gonga continue reading kuendelea.. [NEW SONG] CANNIBAL – BYE BYE
WASANII UGANDA WAMUOMBEA IRYN
Wasanii maarufu walioshiriki katika shughuli hii ni pamoja na Juliana Kanyomozi, Silver Kyagulanyi, Bobi Wine, Catherine Kusasira, Pastor Wilson Bugembe, Julie Mutesasira na Dr. Hilderman. Gonga continue reading kuendelea.. PSY FEKI AFANYA MATANUZI KOREA
Psy huyu feki ambaye kila mahali amekuwa akitembea na walinzi na kushobokewa na paparazi na watu mbalimbali, tayari amekwishaonekana sehemu kubwa kama vile Torch Beach Club na katika sherehe huko Monaco ambapo amekuwa akichukuliwa kama Psy mwenyewe. Gonga continue reading kuendelea.. RADIO,WEASEL JUKWAANI SA
Katika onyesho la ufunguzi wa kipindi hiki, wasanii mbalimbali wakubwa kama vile Stella Mwangi aka STL kutoka Kenya, Don Jazzy na D’Prince wa Nigeria vilevile Mafikizolo kutoka Afrika Kusini ni sehemu ya wakali watakaopanda jukwaani kutumbuiza. Gonga continue reading kuendelea.. DR SLAA RUKSA KUOA
Hatimaye Katibu Mkuu wa Chama Cha Chadema Dr. Willibrord Slaa amekubaliwa kufunga ndoa na mpenzi wake kutokana Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kutupilia mbali Rufaa ilyokuwa imefunguliwa na aliyekuwa mume wa Josephine Mushumbusi. Suala hili limedhihirishwa na Jaji Aneth Wambura kwamba uamuzi huo wa kuitupa rufaa hiyo ni kwa sababu haina mantiki ya kisheria. Jaji pia aliongezea kwa kusema “Dr. Slaa anruhusiwa kufunga ndoa hiyo na mpenzi wake huyo.” NEW BAABKUBWA MAGAZINE..COMING OUT SOON!!
|